Monday, August 6, 2007

HAMASA KUBWA....

WanaTambaza hakika mliwakilishwa vema.Hapo unaona vizazi vya 95,99,2001 na 2002.Mwenzetu mmoja aliyemaliza mwaka 75 alipotea hivyo hakweza kuungana nasi hata hivyo ni heri tu.

2 comments:

Anonymous said...

Hongereni.
Sie wazee tuliomaliza 1980s tulishindwa kuja. Majukumu yalikuwa mengi.
Hivi mnajua kama "PAPAA MSOFE anaepaishwaga hewani na wana Ngwasuma na yeye amemaliza hapo Form four mwaka 1982?

Anonymous said...

aisee hizo ni breaking news aisee...